2 Mambo ya Nyakati 24:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Wakapiga mbiu katika Yuda na Yerusalemu, kumletea BWANA kodi aliyoiweka Musa mtumishi wa Mungu, juu ya Israeli jangwani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kisha tangazo likatolewa kote katika Yuda na Yerusalemu, kwamba watu wote wamletee Mwenyezi-Mungu kodi ambayo Mose mtumishi wa Mungu, aliwaamuru Waisraeli walipokuwa jangwani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kisha tangazo likatolewa kote katika Yuda na Yerusalemu, kwamba watu wote wamletee Mwenyezi-Mungu kodi ambayo Mose mtumishi wa Mungu, aliwaamuru Waisraeli walipokuwa jangwani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kisha tangazo likatolewa kote katika Yuda na Yerusalemu, kwamba watu wote wamletee Mwenyezi-Mungu kodi ambayo Mose mtumishi wa Mungu, aliwaamuru Waisraeli walipokuwa jangwani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu, kwamba inapasa wamletee Mwenyezi Mungu kodi ambayo Musa, mtumishi wa Mwenyezi Mungu, alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu kwamba inapasa wamletee bwana kodi ile ambayo Musa, mtumishi wa bwana alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani. Tazama sura |