Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 24:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 24:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


bali nenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.


Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.


Lakini Yehoyada akawa mzee, mwenye siku nyingi, akafa; alipokufa alikuwa na umri wa miaka mia moja na thelathini.


Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA siku zote za Yehoyada kuhani.


Ikawa baada ya haya, Yoashi alikuwa na nia ya kuitengeneza nyumba ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo