2 Mambo ya Nyakati 24:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Maana wakaja jeshi la Washami watu wachache; BWANA akatia mikononi mwao jeshi kubwa mno, kwa sababu wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao. Hivyo wakamfanyia Yoashi hukumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Hata ingawa jeshi la Shamu lilikuwa dogo, Mwenyezi-Mungu alilipa ushindi dhidi ya jeshi kubwa la watu wa Yuda kwa sababu hao watu wa Yuda walikuwa wamemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao. Hivyo, Washamu wakatekeleza adhabu ya Mungu juu ya mfalme Yoashi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Hata ingawa jeshi la Shamu lilikuwa dogo, Mwenyezi-Mungu alilipa ushindi dhidi ya jeshi kubwa la watu wa Yuda kwa sababu hao watu wa Yuda walikuwa wamemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao. Hivyo, Washamu wakatekeleza adhabu ya Mungu juu ya mfalme Yoashi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Hata ingawa jeshi la Shamu lilikuwa dogo, Mwenyezi-Mungu alilipa ushindi dhidi ya jeshi kubwa la watu wa Yuda kwa sababu hao watu wa Yuda walikuwa wamemwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao. Hivyo, Washamu wakatekeleza adhabu ya Mungu juu ya mfalme Yoashi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, Mwenyezi Mungu akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha Mwenyezi Mungu, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, bwana akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha bwana, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi. Tazama sura |