2 Mambo ya Nyakati 24:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Basi, wakafanya shauri juu yake, wakampiga kwa mawe kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Lakini wakamfanyia njama; na kwa amri ya mfalme, wakampiga mawe kwenye ua wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu wakamuua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Lakini wakamfanyia njama; na kwa amri ya mfalme, wakampiga mawe kwenye ua wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu wakamuua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Lakini wakamfanyia njama; na kwa amri ya mfalme, wakampiga mawe kwenye ua wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu wakamuua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Lakini wakapanga njama dhidi yake, na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe hadi akafa katika ua wa Hekalu la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Lakini wakafanya shauri baya juu yake na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe mpaka akafa katika ukumbi wa Hekalu la bwana. Tazama sura |