2 Mambo ya Nyakati 24:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Hata hivyo akawatuma manabii, ili kuwarudisha kwa BWANA; nao wakawashuhudia; lakini hawakukubali kuwasikiliza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Hata hivyo, aliwapelekea manabii kuwaonya ili wamrudie Mwenyezi-Mungu, lakini wao hawakuwasikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Hata hivyo, aliwapelekea manabii kuwaonya ili wamrudie Mwenyezi-Mungu, lakini wao hawakuwasikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Hata hivyo, aliwapelekea manabii kuwaonya ili wamrudie Mwenyezi-Mungu, lakini wao hawakuwasikiliza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Ingawa Mwenyezi Mungu aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Ingawa bwana aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza. Tazama sura |