2 Mambo ya Nyakati 24:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Lakini Yehoyada akawa mzee, mwenye siku nyingi, akafa; alipokufa alikuwa na umri wa miaka mia moja na thelathini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Lakini Yehoyada alizeeka na alipofikisha umri wa miaka 130, alifariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Lakini Yehoyada alizeeka na alipofikisha umri wa miaka 130, alifariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Lakini Yehoyada alizeeka na alipofikisha umri wa miaka 130, alifariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka mia moja na thelathini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130. Tazama sura |