2 Mambo ya Nyakati 23:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Hili ndilo neno mtakalolifanya; theluthi moja yenu, ninyi makuhani na Walawi mwingiao zamu siku ya sabato, mtalinda milangoni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Hivi ndivyo mtakavyofanya: Theluthi moja yenu nyinyi makuhani na Walawi mtakaoshika zamu siku ya Sabato, mtayalinda malango, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Hivi ndivyo mtakavyofanya: Theluthi moja yenu nyinyi makuhani na Walawi mtakaoshika zamu siku ya Sabato, mtayalinda malango, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Hivi ndivyo mtakavyofanya: theluthi moja yenu nyinyi makuhani na Walawi mtakaoshika zamu siku ya Sabato, mtayalinda malango, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni, Tazama sura |