2 Mambo ya Nyakati 23:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Kisha, Yehoyada akafanya agano, yeye na watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yehoyada akafanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yehoyada akafanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yehoyada akafanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme kwamba watakuwa watu wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa bwana. Tazama sura |