2 Mambo ya Nyakati 23:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Basi wakampisha njia; akaenda kwa kuingia pa mlango wa farasi nyumbani mwa mfalme; nao wakamwua huko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Basi, wakamkamata, na akaingia katika njia ya Lango la Farasi la ikulu, wakamuulia huko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Basi, wakamkamata, na akaingia katika njia ya Lango la Farasi la ikulu, wakamuulia huko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Basi, wakamkamata, na akaingia katika njia ya Lango la Farasi la ikulu, wakamuulia huko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi, katika viwanja vya jumba la mfalme, wakamuua hapo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja vya jumba la mfalme wakamuulia hapo. Tazama sura |