2 Mambo ya Nyakati 21:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Wakati wa enzi zake Edomu wakaasi utawala wa Yuda, wakajifanyia mfalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wakati wa utawala wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe. Tazama sura |