2 Mambo ya Nyakati 21:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Na baada ya hayo yote BWANA akampiga matumbo kwa ugonjwa usioponyeka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Baada ya haya yote, Mwenyezi-Mungu akamletea mfalme ugonjwa wa tumbo usioponyeka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Baada ya haya yote, Mwenyezi-Mungu akamletea mfalme ugonjwa wa tumbo usioponyeka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Baada ya haya yote, Mwenyezi-Mungu akamletea mfalme ugonjwa wa tumbo usioponyeka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Baada ya mambo haya yote, Mwenyezi Mungu akampiga Yehoramu kwa ugonjwa wa matumbo usio wa kupona. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Baada ya mambo haya yote, bwana akampiga Yehoramu kwa ugonjwa usioponyeka wa matumbo. Tazama sura |