2 Mambo ya Nyakati 21:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Barua kutoka nabii Eliya ilimjia, ikisema, BWANA, Mungu wa Daudi baba yako, asema hivi, Kwa kuwa hukuziendea njia za Yehoshafati baba yako, wala njia za Asa mfalme wa Yuda; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Nabii Elia alimpelekea mfalme Yehoramu barua ifuatayo: “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Daudi babu yako, anakulaani kwa sababu hukufuata mwenendo wa Yehoshafati baba yako, au wa Asa mfalme wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Nabii Elia alimpelekea mfalme Yehoramu barua ifuatayo: “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Daudi babu yako, anakulaani kwa sababu hukufuata mwenendo wa Yehoshafati baba yako, au wa Asa mfalme wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Nabii Elia alimpelekea mfalme Yehoramu barua ifuatayo: “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Daudi babu yako, anakulaani kwa sababu hukufuata mwenendo wa Yehoshafati baba yako, au wa Asa mfalme wa Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Yehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Ilya iliyosema: “Hili ndilo Mwenyezi Mungu, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Yehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Ilya iliyosema: “Hili ndilo bwana, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda. Tazama sura |