2 Mambo ya Nyakati 20:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Akaiendea njia ya Asa babaye, wala hakuiacha, akifanya yaliyo mema machoni pa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya Asa baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya Asa baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya Asa baba yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Alienenda katika njia za Asa baba yake wala hakuenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Alienenda katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa bwana. Tazama sura |