2 Mambo ya Nyakati 20:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Basi ukatulia ufalme wake Yehoshafati; kwa sababu Mungu wake alimstarehesha pande zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Basi, Yehoshafati akatawala kwa amani, na Mungu akampa amani pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Basi, Yehoshafati akatawala kwa amani, na Mungu akampa amani pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Basi, Yehoshafati akatawala kwa amani, na Mungu akampa amani pande zote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Ufalme wa Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu wake alikuwa amempa amani pande zote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Ufalme wa Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu wake alikuwa amemstarehesha pande zote. Tazama sura |