2 Mambo ya Nyakati 20:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Wakafika Yerusalemu wenye vinanda, vinubi na parapanda kwenda nyumbani kwa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Walipofika Yerusalemu, walikwenda moja kwa moja hadi nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakipiga vinanda, vinubi na tarumbeta. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Walipofika Yerusalemu, walikwenda moja kwa moja hadi nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakipiga vinanda, vinubi na tarumbeta. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Walipofika Yerusalemu, walikwenda moja kwa moja hadi nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakipiga vinanda, vinubi na tarumbeta. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa Mwenyezi Mungu wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa bwana wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta. Tazama sura |