2 Mambo ya Nyakati 20:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Hata siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka; maana ndipo walipomtukuza BWANA; kwa hiyo jina lake mahali pale pakaitwa Bonde la Baraka hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Sifa, na kumsifu Mwenyezi-Mungu kwa yote aliyowafanyia. Ndio maana bonde hilo linaitwa Bonde la Sifa hadi hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Sifa, na kumsifu Mwenyezi-Mungu kwa yote aliyowafanyia. Ndio maana bonde hilo linaitwa Bonde la Sifa hadi hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Sifa, na kumsifu Mwenyezi-Mungu kwa yote aliyowafanyia. Ndio maana bonde hilo linaitwa Bonde la Sifa hadi hivi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Beraka, mahali walikomtukuza Mwenyezi Mungu. Ndiyo sababu linaitwa Bonde la Beraka hadi leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Beraka kwa maana huko ndiko walikomsifu bwana. Ndiyo sababu linaitwa Bonde la Beraka mpaka leo. Tazama sura |