2 Mambo ya Nyakati 2:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Basi sasa hiyo ngano na shayiri, mafuta na mvinyo, aliyonena bwana wangu, na wapelekewe watumishi wake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Sasa basi, bwana wangu, vitu hivyo ulivyosema: Ngano, shayiri, mafuta na divai, tafadhali uvitume kwa watumishi wako, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Sasa basi, bwana wangu, vitu hivyo ulivyosema: Ngano, shayiri, mafuta na divai, tafadhali uvitume kwa watumishi wako, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Sasa basi, bwana wangu, vitu hivyo ulivyosema: ngano, shayiri, mafuta na divai, tafadhali uvitume kwa watumishi wako, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 “Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 “Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi, Tazama sura |