2 Mambo ya Nyakati 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Na sasa nimemtuma mtu stadi, mwenye akili, yaani, Hiramu baba yangu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Sasa nakupelekea fundi stadi sana na mwenye akili, jina lake Huramu-abi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Sasa nakupelekea fundi stadi sana na mwenye akili, jina lake Huramu-abi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Sasa nakupelekea fundi stadi sana na mwenye akili, jina lake Huramu-abi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Mimi nitamtuma kwako Huram-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi, Tazama sura |
mwana wa mwanamke wa kabila la Dani, na babaye alikuwa mkazi wa Tiro, yeye ni bingwa wa kutumia dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mti; na wa nguo za urujuani, samawati, nyekundu na kitani safi; tena ni stadi kwa kutia nakshi na kuchora michoro yoyote, mbunifu na kuchora chochote kufuatana na kielekezo ambacho angepewa yeye na watu wako mastadi wa bwana wangu Daudi baba yako.