2 Mambo ya Nyakati 2:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akajibu kwa waraka, aliomtumia Sulemani, Ni kwa sababu BWANA awapenda watu wake, amekufanya uwe mfalme juu yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Naye Hiramu, mfalme wa Tiro, alimjibu Solomoni kwa barua akisema: “Kwa kuwa Mwenyezi-Mungu anawapenda watu wake, amekufanya uwe mfalme wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Naye Hiramu, mfalme wa Tiro, alimjibu Solomoni kwa barua akisema: “Kwa kuwa Mwenyezi-Mungu anawapenda watu wake, amekufanya uwe mfalme wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Naye Hiramu, mfalme wa Tiro, alimjibu Solomoni kwa barua akisema: “Kwa kuwa Mwenyezi-Mungu anawapenda watu wake, amekufanya uwe mfalme wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Sulemani kwa barua: “Kwa sababu Mwenyezi Mungu anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Sulemani kwa barua: “Kwa sababu bwana anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.” Tazama sura |