2 Mambo ya Nyakati 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Na tazama, nitawapa watumishi wako, wachongaji wakatao miti, kori elfu ishirini za ngano iliyopondwa, na kori elfu ishirini za shayiri, na bathi elfu ishirini za mvinyo na bathi elfu ishirini za mafuta. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kwa ajili ya watumishi wako, yaani maseremala watakaopasua mbao, nitatoa tani 2,000 za ngano iliyopondwa, tani 2,000 za shayiri, lita 400,000 za divai na lita 400,000 za mafuta.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kwa ajili ya watumishi wako, yaani maseremala watakaopasua mbao, nitatoa tani 2,000 za ngano iliyopondwa, tani 2,000 za shayiri, lita 400,000 za divai na lita 400,000 za mafuta.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kwa ajili ya watumishi wako, yaani maseremala watakaopasua mbao, nitatoa tani 2,000 za ngano iliyopondwa, tani 2,000 za shayiri, lita 400,000 za divai na lita 400,000 za mafuta.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Nitawapa watumishi wako, yaani maseremala wakatao mbao, kori elfu ishirini za unga wa ngano, kori elfu ishirini za shayiri, bathi elfu ishirini za mvinyo, na bathi elfu ishirini za mafuta ya zeituni.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,000 za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,000 za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.” Tazama sura |