2 Mambo ya Nyakati 2:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Basi Sulemani alikusudia kujenga nyumba kwa jina la BWANA, na kuujengea ufalme wake nyumba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mfalme Solomoni alikata shauri kujenga nyumba ambamo Mwenyezi-Mungu ataabudiwa, na pia kujijengea yeye mwenyewe jumba la kifalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mfalme Solomoni alikata shauri kujenga nyumba ambamo Mwenyezi-Mungu ataabudiwa, na pia kujijengea yeye mwenyewe jumba la kifalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mfalme Solomoni alikata shauri kujenga nyumba ambamo Mwenyezi-Mungu ataabudiwa, na pia kujijengea yeye mwenyewe jumba la kifalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Sulemani akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Mwenyezi Mungu na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Sulemani akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe. Tazama sura |