2 Mambo ya Nyakati 18:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hayupo hapa nabii mwingine wa BWANA, ili tumwulize yeye? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini, Yehoshafati akauliza, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini, Yehoshafati akauliza, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini, Yehoshafati akauliza, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Mwenyezi Mungu hapa ambaye tunaweza kumuuliza?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa bwana hapa ambaye tunaweza kumuuliza?” Tazama sura |