2 Mambo ya Nyakati 18:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kupitia kwangu. Akasema, Sikieni, enyi watu wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Ndipo Mikaya aliposema, “Ukirudi salama, basi, utajua Mwenyezi-Mungu hakunena nami.” Kisha akaendelea kusema, “Sikieni, enyi watu wote!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Ndipo Mikaya aliposema, “Ukirudi salama, basi, utajua Mwenyezi-Mungu hakunena nami.” Kisha akaendelea kusema, “Sikieni, enyi watu wote!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Ndipo Mikaya aliposema, “Ukirudi salama, basi, utajua Mwenyezi-Mungu hakunena nami.” Kisha akaendelea kusema, “Sikieni, enyi watu wote!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi Mwenyezi Mungu hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi bwana hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!” Tazama sura |