2 Mambo ya Nyakati 18:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni huyu gerezani, mkamlishe chakula cha shida, na maji ya shida, hadi nitakaporudi kwa amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Waambie wamfunge gerezani na kumlisha mkate kidogo na maji, mpaka nitakaporudi salama.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Waambie wamfunge gerezani na kumlisha mkate kidogo na maji, mpaka nitakaporudi salama.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Waambie wamfunge gerezani na kumlisha mkate kidogo na maji, mpaka nitakaporudi salama.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji hadi nitakaporudi salama.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ” Tazama sura |