2 Mambo ya Nyakati 18:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Mikaya akasema, Angalia utaona siku ile, utakapoingia katika chumba cha ndani ili ujifiche. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mikaya akamjibu, “Siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kujificha ndipo utakapojua.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mikaya akamjibu, “Siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kujificha ndipo utakapojua.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mikaya akamjibu, “Siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kujificha ndipo utakapojua.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapoenda kujificha kwenye chumba cha ndani.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.” Tazama sura |