2 Mambo ya Nyakati 18:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Basi sasa, angalia, BWANA ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa; naye BWANA amenena mabaya juu yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Basi ndivyo ilivyo: Mwenyezi-Mungu amewafanya hawa manabii wako waseme uongo. Lakini Bwana amenena mabaya juu yako!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Basi ndivyo ilivyo: Mwenyezi-Mungu amewafanya hawa manabii wako waseme uongo. Lakini Bwana amenena mabaya juu yako!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Basi ndivyo ilivyo: Mwenyezi-Mungu amewafanya hawa manabii wako waseme uongo. Lakini Bwana amenena mabaya juu yako!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 “Kwa hiyo sasa Mwenyezi Mungu ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. Mwenyezi Mungu ameamuru maafa kwa ajili yako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 “Kwa hiyo sasa bwana ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. bwana ameamuru maafa kwa ajili yako.” Tazama sura |