2 Mambo ya Nyakati 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya. BWANA akamwambia, Jinsi gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Kisha, pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’ Mwenyezi-Mungu akamwuliza, ‘Kwa mbinu gani?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Kisha, pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’ Mwenyezi-Mungu akamwuliza, ‘Kwa mbinu gani?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Kisha, pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’ Mwenyezi-Mungu akamwuliza, ‘Kwa mbinu gani?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hatimaye, roho akajitokeza, akasimama mbele za Mwenyezi Mungu na kusema, ‘Nitamshawishi.’ “Mwenyezi Mungu akauliza, ‘Kwa njia gani?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele za bwana na kusema, ‘Nitamshawishi.’ “bwana akauliza, ‘Kwa njia gani?’ Tazama sura |