2 Mambo ya Nyakati 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Mikaya akasema, Kama aishivyo BWANA, neno lile atakalolinena Mungu wangu, ndilo nitakalolinena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini Mikaya akamjibu, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo, kile atakachoniambia Mungu wangu, ndicho nitakachosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini Mikaya akamjibu, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo, kile atakachoniambia Mungu wangu, ndicho nitakachosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini Mikaya akamjibu, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo, kile atakachoniambia Mungu wangu, ndicho nitakachosema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, nitamwambia kile tu Mwenyezi Mungu atakachoniambia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama bwana aishivyo, nitamwambia kile tu bwana atakachoniambia.” Tazama sura |