2 Mambo ya Nyakati 17:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 na wa pili wake Yehozabadi, na pamoja naye elfu mia moja na themanini waliojiweka tayari kwa vita. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Wa pili alikuwa Yehozabadi, aliyekuwa na askari 180,000 waliojiandaa tayari kwa vita. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Wa pili alikuwa Yehozabadi, aliyekuwa na askari 180,000 waliojiandaa tayari kwa vita. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Wa pili alikuwa Yehozabadi, aliyekuwa na askari 180,000 waliojiandaa tayari kwa vita. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na wapiganaji elfu mia moja na themanini tayari kwa vita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita. Tazama sura |