2 Mambo ya Nyakati 17:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 na wa Benyamini; Eliada mtu shujaa, na pamoja naye elfu mia mbili wenye nyuta na ngao; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kamanda wa vikosi vya askari, waliotoka katika kabila la Benyamini alikuwa Eliada, mtu shupavu, naye alikuwa na askari 200,000, wenye nyuta na ngao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kamanda wa vikosi vya askari, waliotoka katika kabila la Benyamini alikuwa Eliada, mtu shupavu, naye alikuwa na askari 200,000, wenye nyuta na ngao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kamanda wa vikosi vya askari, waliotoka katika kabila la Benyamini alikuwa Eliada, mtu shupavu, naye alikuwa na askari 200,000, wenye nyuta na ngao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kutoka Benyamini: Eliada, mpiganaji hodari, akiwa na watu elfu mia mbili wenye nyuta na ngao; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao; Tazama sura |