2 Mambo ya Nyakati 17:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 na baada yake Amasia mwana wa Zikri, aliyejitoa kwa BWANA kwa moyo, na pamoja naye elfu mia mbili, watu mashujaa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 na wa tatu alikuwa Amasia mwana wa Zikri, akiwa na askari mashujaa 200,000. Amasia alijitolea kwa hiari kumtumikia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 na wa tatu alikuwa Amasia mwana wa Zikri, akiwa na askari mashujaa 200,000. Amasia alijitolea kwa hiari kumtumikia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 na wa tatu alikuwa Amasia mwana wa Zikri, akiwa na askari mashujaa 200,000. Amasia alijitolea kwa hiari kumtumikia Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Mwenyezi Mungu, akiwa na wapiganaji elfu mia mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya bwana, akiwa na askari 200,000. Tazama sura |