Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 15:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Wala hapakuwa na vita tena hata mwaka wa thelathini na tano wa kutawala kwake Asa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hapakuwa na vita tena hadi mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 15:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mambo yote ya Nadabu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Israeli?


Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya alianza kutawala juu ya Israeli wote huko Tirza, akatawala miaka ishirini na minne.


Akavileta nyumbani mwa Mungu vitu alivyovitakasa babaye, na vile alivyovitakasa mwenyewe, fedha, na dhahabu, na vyombo.


Katika mwaka wa thelathini na sita wa kutawala kwake Asa, Baasha mfalme wa Israeli alipanda juu ya Yuda, akaujenga Rama, ili asimwache mtu yeyote kutoka wala kuingia kwa Asa mfalme wa Yuda.


Kwa maana macho ya BWANA hukimbia kimbia duniani kote, ili ajionesha kuwa mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo