2 Mambo ya Nyakati 15:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 na ya kwamba yeyote asiyemtafuta BWANA, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, awe ni mwanamume au mwanamke. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 na kwamba yeyote asiyemtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, awe kijana au mzee, mwanamume au mwanamke, sharti auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 na kwamba yeyote asiyemtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, awe kijana au mzee, mwanamume au mwanamke, sharti auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 na kwamba yeyote asiyemtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, awe kijana au mzee, mwanamume au mwanamke, sharti auawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Wale wote ambao hawangemtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Wale wote ambao hawangemtafuta bwana, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke. Tazama sura |