2 Mambo ya Nyakati 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Wakamchinjia BWANA siku ile, katika nyara walizozileta, dhabihu za ng'ombe mia saba, na kondoo elfu saba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Siku hiyo, walimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko za ng'ombe 700 na kondoo 7,000, kutoka katika zile nyara walizoteka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Siku hiyo, walimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko za ng'ombe 700 na kondoo 7,000, kutoka katika zile nyara walizoteka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Siku hiyo, walimtolea Mwenyezi-Mungu tambiko za ng'ombe 700 na kondoo 7,000, kutoka katika zile nyara walizoteka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wakati huo wakamtolea Mwenyezi Mungu dhabihu za ng’ombe mia saba, kondoo na mbuzi elfu saba kutoka nyara walizoteka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wakati huo wakamtolea bwana dhabihu za ng’ombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka. Tazama sura |