2 Mambo ya Nyakati 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 akawaamuru Yuda wamtafute BWANA, Mungu wa baba zao, na kuzitenda torati na amri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Aliwaamuru watu wa Yuda wamtafute Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao, na kuzitii sheria na amri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Aliwaamuru watu wa Yuda wamtafute Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao, na kuzitii sheria na amri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Aliwaamuru watu wa Yuda wamtafute Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao, na kuzitii sheria na amri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Akawaamuru Yuda kumtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wa baba zao, na kutii sheria zake na amri zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Akawaamuru Yuda kumtafuta bwana, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake. Tazama sura |