2 Mambo ya Nyakati 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 maana aliziondoa madhabahu za kigeni, na mahali pa juu, akazivunja nguzo, akayakatakata maashera; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Aliondoa nchini madhabahu za kigeni na mahali pa kuabudia miungu mingine, akabomoa minara na kuzikatakata sanamu za Ashera. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Aliondoa nchini madhabahu za kigeni na mahali pa kuabudia miungu mingine, akabomoa minara na kuzikatakata sanamu za Ashera. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Aliondoa nchini madhabahu za kigeni na mahali pa kuabudia miungu mingine, akabomoa minara na kuzikatakata sanamu za Ashera. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera. Tazama sura |