2 Mambo ya Nyakati 14:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Basi, Asa akafanya yaliyo mema, yaliyo ya adili, machoni pa BWANA, Mungu wake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Asa alitenda yaliyokuwa mazuri na mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Asa alitenda yaliyokuwa mazuri na mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Asa alitenda yaliyokuwa mazuri na mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa Mwenyezi Mungu, Mungu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa bwana Mwenyezi Mungu wake. Tazama sura |
Basi hayo yote yalipokwisha, Israeli wote waliokuwako wakatoka waende miji ya Yuda, wakazivunjavunja nguzo, wakayakatakata Maashera, wakabomoa mahali pa juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, katika Efraimu pia na Manase, hadi walipoviharibu vyote. Ndipo wana wa Israeli wote wakarudi, kila mtu kwa milki yake, mijini kwao.