2 Mambo ya Nyakati 13:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Na mambo ya Abiya yaliyosalia, na njia zake, na maneno yake, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Matendo mengine ya Abiya, shughuli zake na maneno yake, yameandikwa katika kitabu cha “Historia ya Nabii Ido.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Matendo mengine ya Abiya, shughuli zake na maneno yake, yameandikwa katika kitabu cha “Historia ya Nabii Ido.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Matendo mengine ya Abiya, shughuli zake na maneno yake, yameandikwa katika kitabu cha “Historia ya Nabii Ido.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido. Tazama sura |