2 Mambo ya Nyakati 13:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Miaka mitatu akatawala huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Maaka binti Urieli wa Gibea. Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alitawala kwa muda wa miaka mitatu akiwa Yerusalemu. Mama yake alikuwa Maaka binti Urieli wa Gibea. Kulitokea vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alitawala kwa muda wa miaka mitatu akiwa Yerusalemu. Mama yake alikuwa Maaka binti Urieli wa Gibea. Kulitokea vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alitawala kwa muda wa miaka mitatu akiwa Yerusalemu. Mama yake alikuwa Maaka binti Urieli wa Gibea. Kulitokea vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea. Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea. Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu. Tazama sura |