2 Mambo ya Nyakati 13:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Abiya akamfuata Yeroboamu, akamnyang'anya miji, Betheli na vijiji vyake na Yeshana na vijiji vyake, na Efroni na vijiji vyake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Abiya alimfukuza Yeroboamu, akamnyanganya baadhi ya miji yake: Betheli, Yeshana, Efroni pamoja na vijiji vilivyokuwa kandokando ya miji hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Abiya alimfukuza Yeroboamu, akamnyanganya baadhi ya miji yake: Betheli, Yeshana, Efroni pamoja na vijiji vilivyokuwa kandokando ya miji hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Abiya alimfukuza Yeroboamu, akamnyang'anya baadhi ya miji yake: Betheli, Yeshana, Efroni pamoja na vijiji vilivyokuwa kandokando ya miji hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vya miji hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo. Tazama sura |