2 Mambo ya Nyakati 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.” Tazama sura |