2 Mambo ya Nyakati 12:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Ndipo wakajinyenyekeza wakuu wa Israeli na mfalme; wakasema, BWANA ndiye mwenye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Mwenyezi Mungu ni mwenye haki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “bwana Mwenyezi Mungu ni mwenye haki.” Tazama sura |