2 Mambo ya Nyakati 12:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Naye akatenda yaliyo maovu, kwa kuwa hakuukaza moyo wake amtafute BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Rehoboamu alitenda maovu, kwa maana hakunuia kumtafuta Mwenyezi-Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Rehoboamu alitenda maovu, kwa maana hakunuia kumtafuta Mwenyezi-Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Rehoboamu alitenda maovu, kwa maana hakunuia kumtafuta Mwenyezi-Mungu kwa moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta bwana Mwenyezi Mungu. Tazama sura |