2 Mambo ya Nyakati 12:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Naye alipojinyenyekeza, ghadhabu ya BWANA ikamgeukia mbali, asimharibu kabisa; tena yalionekana katika Yuda mambo mema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Alipojinyenyekesha, Mwenyezi-Mungu aliacha kumghadhibikia na hakumwangamiza kabisa. Zaidi ya hayo, hali ya nchi ya Yuda ilikuwa nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Alipojinyenyekesha, Mwenyezi-Mungu aliacha kumghadhibikia na hakumwangamiza kabisa. Zaidi ya hayo, hali ya nchi ya Yuda ilikuwa nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Alipojinyenyekesha, Mwenyezi-Mungu aliacha kumghadhibikia na hakumwangamiza kabisa. Zaidi ya hayo, hali ya nchi ya Yuda ilikuwa nzuri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya Mwenyezi Mungu ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya bwana ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda. Tazama sura |