Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 11:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Gathi, Maresha, Zifu,

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 11:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baadaye, Daudi akawapiga Wafilisti, akawashinda, akautwaa Gathi na vijiji vyake mikononi mwa Wafilisti.


Beth-suri, Soko, Adulamu,


Adoraimu, Lakishi, Azeka,


Naye Asa alikuwa na jeshi waliochukua ngao na mikuki, katika Yuda elfu mia tatu; na katika Benyamini wenye kuchukua vigao na kupinda upinde, elfu mia mbili na themanini; hao wote walikuwa mashujaa.


Kisha, Zera Mkushi alikuja kuwashambulia akiwa na jeshi la watu milioni moja na magari mia tatu akaja Maresha.


Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akasema, Kwa sababu umepatana na Ahazia, BWANA amezivunjavunja kazi zako. Zikavunjika merikebu, zisiweze kufika Tarshishi.


Akatoka akapigana na Wafilisti, akauvunja ukuta wa Gathi, na ukuta wa Yabne, na ukuta wa Ashdodi; akajenga miji katika Ashdodi na katikati ya Wafilisti.


Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.


Zifu, Telemu, Bealothi;


Keila, Akizibu na Maresha; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.


Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta;


Basi Daudi alikuwa akikaa nyikani ngomeni, akakaa katika nchi ya milima milima kwenye nyika ya Zifu. Naye Sauli alikuwa akimtafuta kila siku, lakini Mungu hakumtia mikononi mwake.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo