Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 11:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Naye Rehoboamu akakaa Yerusalemu, akajenga miji yenye ngome katika Yuda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Rehoboamu alikaa Yerusalemu na akajenga ngome na kuiimarisha miji ifuatayo iliyokuwa nchini Yuda:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Rehoboamu alikaa Yerusalemu na akajenga ngome na kuiimarisha miji ifuatayo iliyokuwa nchini Yuda:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Rehoboamu alikaa Yerusalemu na akajenga ngome na kuiimarisha miji ifuatayo iliyokuwa nchini Yuda:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 11:5
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya kwa akili, akawatawanya wanawe wote kati ya nchi zote za Yuda na Benyamini, katika kila mji wenye boma; akawapa vyakula tele. Akawatafutia wake wengi.


Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,


Akaitwaa miji yenye maboma iliyokuwa ya Yuda, akaja Yerusalemu.


Tena akaondoa kutoka miji yote ya Yuda mahali pa juu na sanamu za jua; ufalme ukastarehe mbele yake.


Ndipo mfalme Asa akawatwaa Yuda wote; nao wakayachukua mawe ya Rama, na miti yake, aliyoijengea Baasha; naye akajenga kwa vitu hivyo Geba na Mispa.


Ukuu wake Yehoshafati ukazidi sana; akajenga katika Yuda ngome na miji ya hazina.


Akaweka jeshi katika miji yote yenye maboma ya Yuda, akatia na askari walinzi katika nchi ya Yuda, na katika miji ya Efraimu, aliyoitwaa Asa babaye.


Baba yao akawapa zawadi kubwa, za fedha, za dhahabu, na za tunu, pamoja na miji yenye maboma katika Yuda; lakini ufalme akampa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza.


Akatoka akapigana na Wafilisti, akauvunja ukuta wa Gathi, na ukuta wa Yabne, na ukuta wa Ashdodi; akajenga miji katika Ashdodi na katikati ya Wafilisti.


Tena akajenga miji katika milima ya Yuda, na mwituni akajenga ngome na minara.


wakati ule jeshi la Babeli walipopigana na Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyosalia, na Lakishi, na Azeka; kwa maana miji hiyo tu ndiyo iliyosalia katika miji ya Yuda yenye maboma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo