2 Mambo ya Nyakati 11:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kisha baada yake akamwoa Maaka, binti Absalomu; na yeye akamzalia Abiya, na Atai, na Ziza, na Shelomithi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Baadaye, alimwoa Maaka binti Absalomu, naye akamzalia Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Baadaye, alimwoa Maaka binti Absalomu, naye akamzalia Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Baadaye, alimwoa Maaka binti Absalomu, naye akamzalia Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, aliyemzalia Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, ambaye alimzalia: Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi. Tazama sura |