Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 akamzalia wana, Yeushi, na Shemaria, na Zahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 11:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Rehoboamu akaoa mke, Mahalathi binti Yerimothi mwana wa Daudi, na wa Abihaili binti Eliabu, mwana wa Yese;


Kisha baada yake akamwoa Maaka, binti Absalomu; na yeye akamzalia Abiya, na Atai, na Ziza, na Shelomithi.


ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo