2 Mambo ya Nyakati 10:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Lakini akaliacha shauri lile la wazee walilompa, akataka shauri kwa wale vijana wa rika yake, waliokuwa washauri wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini Rehoboamu alipuuza shauri la wazee na badala yake akashauriana na vijana wa rika lake ambao walikuwa washauri wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini Rehoboamu alipuuza shauri la wazee na badala yake akashauriana na vijana wa rika lake ambao walikuwa washauri wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini Rehoboamu alipuuza shauri la wazee na badala yake akashauriana na vijana wa rika lake ambao walikuwa washauri wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Lakini Rehoboamu akakataa ushauri aliopewa na wazee, na akataka ushauri kwa vijana wa rika lake waliokuwa wakimtumikia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia. Tazama sura |