Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Akawaambia, Mnirudie baada ya siku tatu. Watu wakaenda zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 10:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Nendeni zenu hata siku ya tatu, kisha mnirudie tena. Watu wakaenda zao.


Baba yako alilifanya zito kongwa letu; basi sasa upunguze utumwa mgumu wa baba yako, na kongwa lake zito alilotutwika, nasi tutakutumikia.


Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Usimwambie jirani yako, Nenda, urudi halafu, na kesho nitakupa; Nawe unacho kitu kile karibu nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo